NITAKUAMBIA kwa nini. Mara ya mwisho kuona kipindi cha TV kama Bongo Star Search (BSS) kinaanzia Tanzania kisha kinakuza mbawa zake kwenda nje ya mipaka ya TZ ni lini? Mimi hata sikumbuki.
Kwa mujibu wa Bild, Lewandowski sasa ameamua kuongeza idadi ya nyumba zake baada ya kununua jumba hilo lenye vyumba sita huko Mallorca katika kijiji cha Camp de Mar, ambapo mjengo huo upo ufukweni.
PEP Guardiola amedai hana sababu ya kulalamikia ratiba ngumu inayoikabili Manchester City kwa mwezi huu wa Februari kwa ...
KOCHA Ruben Amorim anataka Kobbie Mainoo na Alejandro Garnacho wabaki kwenye kikosi cha Manchester United kwa ajili ya hatima ya timu hiyo.
NDO hivyo. Arsenal inakabiliwa na njia ngumu katika mchakamchaka wao wa kufukuzia taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu baada ya droo ya mchujo.
JANUARI 31, 2025, wachezaji 14 walitangazwa kuwa wachezaji wa akiba kwa ajili ya mchezo wa All-Star wa NBA utakaopigwa ...
LIGI Kuu Bara inazidi kupaa na kuonekana kuwa mojawapo ya ligi zenye nguvu katika Afrika. Kwa sasa Ligi hiyo inashika nafasi ...
KAMA kuna kitu kinasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Yanga kwenye soka la wanawake ni timu hiyo kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ambayo imekuwa ikiuota kila siku.
WAKATI kukiwa na mijadala kuhusu wachezaji wa ligi mbalimbali za soka nchini kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na kupanga matokeo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amefichua ...
HII wikiendi ya kibabe kwelikweli kuanzia hapa nchini hadi Ulaya kuna mechi zinapigwa leo Jumamosi na kesho Jumapili huku ...
Wadau wa michezo nchini, ndugu, jamaa, marafiki, wanasiasa na wakazi wa Jiji la Mwanza wameuaga mwili wa Mkurugenzi wa Kituo cha Michezo na Shule za Alliance, James Bwire na kesho ...
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili, Christina Shusho na Ambwene Mwasongwe ni kati ya wasanii watakaolipamba tamasha la Mkono wa Bwana.